Thursday, August 23, 2012

MAANDALIZI YA ZOEZI LA SENSA YAKAMILIKA MKOANI KILIMANJARO

Written by hakingowi


Mkuu wa Mkoa wa Kilimanajaro Leonidas Gama, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya Sensa ya watu na makazi ambapo pia amebainisha kuwepo kwa changamoto kubwa ya vikundi vya watu wa chache vinavyodaiwa kuwa ni vya dini ya Kiislamu,ambavyo vimeendelea na zoezi la kuwashawishiwi watu wasihesabiwe kwenye Wilayani mbalimbali Mkoani hapa.Picha na Rodrick Mushi

No comments:

Post a Comment