Sunday, August 19, 2012

Umuhimu wa Kituo cha kisasacha michezo Moshi

Kwa wale wanaojuwa mji wa Moshi watakubalia na wazo la kuwa na moja ya viwanja vya kisasa ,
 katika mazingira ya mkowa wa Kilimanjaro kwani yatasaidia kukuza utalii wa michezo nchini.
Pia itasaidia ushindi wa timu yetu ya Taifa na wanamichezo wa Olympic  kwa kuzingatia mazingira yenyewe yalivyo na imani ya nchi yetu kwa mlima.
Mlima kilimanjaro umekuwa ukiangaza tochi yetu ya Taifa pia kuleta sifa kemkem kuhusu nchi.
Tayari kuna mashindano ya Kilimanjaro marathoni na yakiboreshwa tunaweza kuwa na mashinda ya riadha ya ndani ya uwanja yakisindikizwa na mchezo wa mpira wa miguu.

Mfano wa kijiji cha Michezo .pic from www.webbaviation.co.uk

Leigh Sports Village -cb00276.jpg

Moshi Kilimanjaro city from the sky



Mfano wa uwanja picha kutoka www.tanzaniasports.com
TTB SPORTS OPTION CAMPAIGN MOVES TO USA
Mfano wa wanaoweza kutufadhili tuwashirikisha.
Uwanja wa http://www.soundersfc.com/

No comments:

Post a Comment